GWIJI wa England na mtangazaji mwenye heshima kubwa, Jimmy Armfield amefariki dunia akiwa ana umri wa miaka 82 baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani.
Pamoja na kuichezea mechi 569 Blackpool enzi zake, Armfield pia alikuwa Nahodha wa England mara 15 katika mechi 43 alizochezea Simba Watatu.
Baada ya kuwa kocha wa timu za Leeds na Bolton, Armfield akahamia kwenye utangazaji na kujivunia heshima kubwa akiwa mchambuzi wa BBC Radio 5 Live.
Familia yake imethibitisha kifo chake kilichotokea Trinity Hospice mapema asubuhi ya leo. Mungu ampumzishe kwa amani gwiji huyo. Amin.
Jimmy Armfield akipokea tuzo maalum ya Chama cha Wachezaji wa Kulipwa England (PFA) mwezi Aprili mwaka 2008 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2DsJG3y
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang GWIJI WA ENGLAND ALIYEMALIZIA NA UTANGAZAJI AFARIKI DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/gwiji-wa-england-aliyemalizia-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.