Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameahidi kumnunulia gari kiungo wa klabu hiyo, Said Hamisi Ndemla.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online leo mjini Dar es Salaam, Poppe amesema kwamba huo ni utaratibu wa kawaida aliohjiwekea wa kuwazawadia gari wachezaji wanaojituma na wenye nidhamu kwenye timu.
“Yeye mwenyewe atachagua gari yoyote aipendayo, mimi nitamnunulia. Bado sijainunua nimempa ahadi tu ambayo nitaitekeleza mara moja,”amesema Hans Poppe, Kapteni wa zamani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Kiungo wa Simba SC, Said Hamisi Ndemla ameahidiwa gari na Zacharia Hans Poppe
Ndemla atakuwa mchezaji wa pili Simba kuzawadiwa gari na Poppe baada ya beki, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kupewa gari aina ya Toyota Raum Septemba mwaka 2016
Na Hans Poppe amesema amevutiwa na Ndemla kutokana na nidhamu yake na kujituma bila kukata tama wakati wote.
“Ni mchezaji ambaye hana neno anapokuwa hapangwi, na akiinuliwa kuingia uwanjani wakati wowote huenda kufanya vizuri na kuisaidia timu. Kwa kweli huyu kijana ni mfano wa kuigwa kwe wenzake na anastahili zawadi hii,”amesema.
Poppe amesema kwamba utamadunia wa kuwazawadia gari wachezaji wa klabu yake hiyo utaendelea na jukumu la kila mchezaji kuonyesha nidhamu na bidii kama Ndemla.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2DstyTL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms