Na Mwandishi Wetu, BUKOBA
BEKI wa Kagera Sugar, Juma Said Nyosso anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera baada ya kumpiga na kumuumiza shabiki wa Simbe jioni ya leo.
Walioshuhudia tukio hilo wanasema Nyosso alikerwa na shabiki huyo kushangilia mbele yake baada ya mechi timu yake ikichapwa 2-0 na Simba na wengine wanasema shabiki huyo alimtolea maneno ya kejeli beki huyo ‘asiye na masihara’.
Shabiki huyo alianguka chini na kuonekana kama aliyepoteza fahamu na Polisi wakamkamata Nyosso na kuondoka naye.
Juma Nyosso akiwa mikononi mwa askari wa Jeshi la Polisi leo
Shabiki wa Simba aliyepigwa na Juma Nyosso akipatiwa huduma ya kwanza Uwanja wa Kaitaba
Simba SC imewapa raha mashabiki wake baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Kaitaba, Bukoba.
Ushindi huo unaifanya Simba SC irejee kileleni mwa Ligi Kuu kwa kufikisha pointi 32 baada ya kucheza mechi 14, ikifuatiwa na Azam FC pointi 30 na mabingwa watetezi, Yanga SC pointi 25.
Pongezi kwa wafungaji wa mabao ya Simba leo, wazawa kiungo Said Hamisi Ndemla na mshambuliaji na Nahodha John Raphael Bocco wote kipindi cha pili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2rxEKZq
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NYOSSO ASHIKILIWA NA POLISI KWA KUMPIGA SHABIKI WA SIMBA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/nyosso-ashikiliwa-na-polisi-kwa-kumpiga.html. Terimakasih atas perhatiannya.