Na Mwandishi Wetu, MOROGORO
KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Masoud Juma amesema kwamba mshambuliaji Emmanuel Okwi ameomba msamaha kwa kuchelewa kujiunga na timu kufuatia ruhusa maalum aliyopewa.
Akizungumza mjini Morogoro baada ya mazoezi ya leo asubuhi, Juma ambaye ni raia wa Burundi amesema kwamba Okwi amekwishajiunga na timu na ameomba radhi kwe wenzake.
“Okwi alikuja akaomba samahani kwa wachezaji na watu wote. Unajua binadamu kila mtu hakuna aliyekamilika, muhimu ni kuungana kwa pamoja bila kunyoosheana vidole,”amesema.
Emmanuel Okwi ameomba msamaha kwa kuchelewa kujiunga na timu kufuatia ruhusa maalum aliyopewa
Aidha, Juma amesema kwamba wamekuwa na wiki nzuri ya maandalizi katika kambi yao ya Morogoro kujiandaa na mchezo wao wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Singida United Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Amesema baada ya kambi hiyo sasa wanarejea Dar es Salaam kwa matarajio ya kufanya vizuri kwenye mchezo wao huo wa kesho.
Simba SC inaongoza Ligi Kuu kwa sasa kwa pointi zake 26 baada ya kucheza mechi 12, ikiwa sawa kabisa na Azam FC na inawazidi kwa pointi tatu Singida United na pointi tano mabingwa watetezi, Yanga SC.
Yanga wanateremka dimbani leo Uwanja wa Uhuru kumenyana na Mwadui FC ya Shinyanga wakati Azam FC watakuwa wageni wa Maji Maji kesho Uwanja wa Maji Maji mjini Songea katika mechi ya kukamilisha raundi ya 13 ya Ligi Kuu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2Dms0u4
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang OKWI AWAOMBA MSAMAHA WACHEZAJI WENZAKE, MAKOCHA SIMBA SC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/okwi-awaomba-msamaha-wachezaji-wenzake.html. Terimakasih atas perhatiannya.