Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
WACHEZAJI tisa wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys wamepunguzwa kwenye kikosi cha timu hiyo kinachoendelea na maandalizi ya michuano mbalimbali.
Kikosi sasa kinabaki na wachezaji 34 kutoka 43 na kiitaendelea kuwepo kambini hadi Januari 28, 2018. Orodha hiyo inajumuisha wachezaji 30 wa ndani na makipa wanne.
Maandalizi hayo ya Serengeti Boys yatakwenda sambamba na kucheza mechi za kirafiki kabla ya kuhairisha kambi hiyo itakayokuwa ikifanyika mara kwa mara na mpango uliopo ni kila mwezi timu hiyo kuingia kambini.
Serengeti Boys ipo chini ya kocha Mdenmark, Kim Poulsen anayesaidiwa na Oscar Milambo na inajiandaa na michuano ya CECAFA Challenge U-17.
Wakati huo huo: Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia amempongeza mwanamichezo, Dk Damas Ndumbaro kwa kushinda kiti cha Ubunge Jimbo la Songea Mjini.
Rais Karia amesema ushindi wa Dk. Ndumbaro unaongeza wanamichezo zaidi katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao wanaweza kuwa chachu ya maendeleo ya michezo ikiwemo mpira wa miguu.
Amesema uzoefu wa Dk. Ndumbaro katika mpira wa miguu utasaidia katika nyanja hiyo na itasaidia kupaza sauti kupitia bunge katika harakati za kushirikiana kuusogeza mbele mchezo wa soka.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2EHrC5C
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TISA WACHUJWA SERENGETI BOYS, KAMBINI KUVUNJWA JANUARI 28. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/tisa-wachujwa-serengeti-boys-kambini.html. Terimakasih atas perhatiannya.