Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BEKI wa kati wa Azam FC, Yakubu Mohammed ameondoka leo mchana mjini Dar es Salaam kwenda Afrika Kusini kwa matibabu ya kifundo cha mguu.
Meneja wa Azam FC, Philipo Alando ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba Mohammed atafanyiwa ufunguzi kesho Saa 4:00 asubuhi katika hospitali ya iliyopo mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Alando amesema mchezaji huyo amekuwa nje ya Uwanja tangu Machi kutokana na maumivu ya kifundo cha mguu na pamoja na kufanyiwa matibabu ikiwa ni pamoja na kufungwa Plasta Gumu (PoP), lakini hajapata nafuu.
Yakubu Mohammed amekwenda Afrika Kusini leo kwa matibabu ya kifundo cha mguu
“Yakubu ana mpasuko kwenye mfupa wa kifundo cha mguu, alitibiwa mwezi wa tatu, lakini hajapata nafuu, sasa ndiyo tunampeleka tena Afrika Kusini kwa uchunguzi zaidi, ili tujue hatua inayofuata,”amesema Alando.
Mohammed ameondoka nchini akiongozana na Daktari Mkuu wa klabu, Mwanandi Mwankemwa ambaye ndiye atasimamia matibabu yake huko.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2IajznA
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BEKI MGHANA WA AZAM FC APELEKWA AFRIKA KUSINI KWA MATIBABU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/05/beki-mghana-wa-azam-fc-apelekwa-afrika.html. Terimakasih atas perhatiannya.