Na Mwandishi Wetu, KAMPALA
AZAM FC imepoteza mchezo wa kwanza leo katika ziara yake ya Uganda baada ua kuchapwa mabao 4-2 na wenyeji, KCCA Uwanja wa klabu hiyo uliopo eneo la Lugogo mjini Kampala, Uganda.
Azam FC inayofundishwa na kocha Mholanzi, Hans van der Pluijm anayesaidiwa na mzalendo, Juma Mwambusi ilitangulia kwa mabao ya beki Aggrey Morris dakika ya tatu na mshambuliaji mpya, Daniel Lyanga dakika ya sita.
Lakini KCCA wakazinduka na kusawazisha mabao hayo ndani ya kipindi cha kwanza kupitia kwa Muzamil Mutyaba dakika ya 15 na Timoth Awanyi dakika ya 44, kabla ya kuongeza mengine mawili kipindi cha pili kupitia kwa Allan Kyambadde dakika ya 48 na Patrick Kaddu dakika ya 69.
Huo ulikuwa ni mchezo wa pili katika kambi yake ya Uganda kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baada ya awali kulazimishwa sare ya 0-0 na URA Uwanja wa Mandela, Namboole mjini Kampala.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2B1VU6k
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms