KATIKA kile kinachoonekana ni kuendelea kujisafisha, Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limemfungia miaka miwili Mjumbe wa Kamati Kuu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Kalusha Bwalya tuhuma za rushwa.
Mwanasoka huyo bora wa zamani wa Afrika, ambaye kwa sasa ni Rais wa Shirikisho la Soka Zambia na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CAF, amesimamishwa kujihusisha na shughuli za soka kwa miaka miwili na Kamati ya Maadili ya Kimataifa.
Katika taarifa yake, barua imesema kwamba uamuzi huo umefuatia uchunguzi uliofanyika juu ya fedha alizopewa Bwalya na Mohammed Bin Hammam, Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Asia na aliyekuwa mgombea Urais wa FIFA.
Kalusha Bwalya (kushoto) amefungiwa kwa miaka miwili kutojihusisha na soka
Adhabu hiyo inayoanza mara moja, inaambatana faini ya faranga za Uswisi 100,000 ambazo lazima zilipwe na kiongozi huyo wa Zambia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2P0hafN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms