Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TANZANIA imeanza vyema leo michuano ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Burundi Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Mabao ya Serengeti Boys katika mchezo huo wake huo wa kwanza wa michuano hiyo ijulikanayo kama CECAFA CAF Afcon qualifier yamefungwa na Kelvin John dakika ya 11 na Agiri Ngoda dakika ya 29, wakati la Burundi limefungwa na Edson Munaba dakika ya 20.
Mchezo wa kwanza kabisa wa ufunguzi wa michuano hiyo, Rwanda iliichapa Sudan mabao 3-1 hapo hapo Uwanja wa Taifa.
Mabao ya Rwanda yamefungwa na Moise Nyarugabo dakika ya 30, Rodrigue Isingizwe dakika ya 33 na Jean Isimiwe dakika ya 89, wakati la Sudan limefungwa na Mohammed Badri dakika ya 71.
Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mchezo mmoja, kati ya Sidan Kusini na Djibouti kuanzia Saa 8:00 mchana. Ikumbukwe, Tanzania ndiyo wenyeji wa AFCON ya mwakani mjini Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Ot6qFk
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms