Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC leo imeibuka na ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Kombe la Reha Day Uwanja wa Bandari, Tandika mjini Dar es Salaam.
Hiyo ilikuwa ni baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika ya 90 katika mchezo huo mzuri uliohudhuriwa na mashabiki wachache jioni ya leo.
Mtibwa Sugar inayofundishwa wachezaji wake wa zamani, kocha Zubery Katwila anayesaidiwa na Patrick Mwangata chini ya Mkurugenzi wa Ufundi, Salum Mayanga leo ilishindwa kufurukuta mbele ya KMC.
KMC iliyopanda Ligi Kuu msimu huu na kukisuka upya kikosi chake chini ya aliyekuwa kocha wa Mbao FC ya Mwanza kwa misimu miwili iliyopita, baada ya kuikosa Mtibwa katika dakika 90 ikaenda kuimaliza kwenye matuta.
Na kwa matokeo hayo, KMC itakwenda kukutana na Transit Camp iliyoitoa Reha FC kwa penalti 3-0 baada ya sare ya 0-0 pia katika mchezo uliotangulia leo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MCxZM8
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KMC YAITUPA NJE KWA MATUTA MTIBWA SUGAR KOMBE LA REHA TEMEKE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/08/kmc-yaitupa-nje-kwa-matuta-mtibwa-sugar.html. Terimakasih atas perhatiannya.