Na Mwandishi Wetu, LINDI
KIKOSI cha Simba SC kimelazimishwa sare ya bila kufungana na Namungo FC ya Daraja la Kwanza katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Majaliwa wilayani Ruangwa mkoani Lindi.
Hiyo inakuwa sare ya pili mfululizo kwa mabingwa hao wa Tanzania, baada ya Jumatano pia kutoka sare ya 1-1 na Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo mwingine wa kirafiki Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Mchezo wa leo ulikuwa maalum wa kuzindua Uwanja wa Majaliwa unaotokana na jina la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Kassim Majaliwa.
Kwa Simba SC, mchezo huo ulikuwa sehemu ya maandakizi ya mchezo wake wa Ngao ya Jamii Agosti 18 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza dhidi ya Mtibwa Sugar.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2KMCVMG
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms