Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI chipukizi wa Tanzania, Kelvin John ameondoka jana mjini Dar es Salaam kwenda Denmark kwa ajili ya majaribio ya kujiunga na klabu ya HB Koge inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini humo.
Kelvin amepata nafasi hiyo baada ya kufanya vizuri kwenye michuano maalum ya kuwania kushiriki Fainali za vijana chini ya umri wa miaka 17 Afrika (AFCON U17) kwa ukanda wa Afrika Mashariki, maarufu kama CECAFA AFCON Qualifier Tanzania ikimaliza nafasi ya tatu.
Na akiwa Denmark, atapewa nafasi ya kufanya mazoezi na kucheza mechi za kirafiki na timu hiyo kwa 18, wastani wa wiki tatu huku makocha wa timu hiyo wakimfuatili.
Kelvin John katika picha tofauti jana wakati wa safari yake
Kelvin John akiwa na tuzo yake ya Mchezaji Bora wa michuano ya kufuzu AFCON
Ikumbukwe Kelvin ni miongoni mwa vijana waliofanya vizuri kwenye mashindano ya CECAFA AFCON Qualifier yaliyofanyika mjini Dares Salaam Julai mwaka huu na ndiye mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2yv8XcB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms