Mshambuliaji Gareth Bale akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Atletico Madrid Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kufuatia kutokea benchi dakika ya 57 kuchukua nafasi ya Vinicius Junior, hilo likiwa bao lake la 100 tangu ajiunge na klabu hiyo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 16 na Sergio Ramos dakika ya 42 kwa penalti wakati la Atletico Madrid limefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 25 katika mchezo ambao wenyeji walimaliza pungufu baada ya kiungo wao, Thomas Partey kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 45 katika mechi ya 23 na kupanda hadi nafasi ya pili, ikiizidi kwa pointi moja Atletico Madrid na ikizidiwa kwa pointi tano na vinara, Barcelona ambao pia wamecheza mechi 22 na watamenyana na Athletic Club PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2SG9zHL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms