TIMU ya JS Saoura imefufua matumaini ya kwenda Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) usiku wa jana Uwanja wa Agosti 20, 1955 mjini Bechar nchini Algeria.
Katika mchezo huo ambao mshambuliaji Mtanzania wa JS Saoura, Thomas Ulimwengu alikuwa benchi muda wote, bao hilo pekee limefungwa kiungo Muagleria Ziri Hammar dakika ya 78 ambaye alitumia vyema kabisa makosa ya walinzi wa AS Vita.
Ikumbukwe mchezo wa kwanza baina ya timu hizo wiki iliyopita mjini Kinshasa, Vita ililazimishwa sare ya kufungana 2-2 na JS Saoura.
Sasa Vita inashika mkia Kundi D kwa pointi zake nne, ikizidiwa pointi moja na JS Saoura, mbili na Simba SC ya Tanzania na tatu na Al Ahly ya Misri.
Mechi zijazo, Saoura ataikaribisha Simba SC mjini Bechar na AS Vita wataikaribisha Al Ahly mjini Kinshasa Jumamosi ya Machi 9.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2tjsnyc
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms