Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MKUTANO wa waandishi wote wa habari za michezo kujadili Rasimu ya Kwanza ya Mapendekezo ya Marekebisho ya Katiba ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) sasa utafanyika Februari 17 mwaka huu ukumbi wa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katibu wa Kamati ya Katiba na Katibu Mkuu TASWA, Amir Mhando amesema kwamba awali mkutano huo ulikuwa ufanyike Februari 10, lakini kwa tarehe hiyo kumejitokeza changamoto ambazo zipo nje ya uwezo wa kamati, hivyo imeonekana ni busara usogezwe mbele kwa wiki moja.
Ni imani ya Kamati ya Marekebisho ya Katiba kwamba wanahabari watajitokeza kwa wingi ili kwa pamoja tuweze kuipitia rasimu kwa pamoja kwa nia ya kujenga chama imara.
Katibu wa Kamati ya Katiba na Katibu Mkuu TASWA, Amir Mhando amesema mkutano utafanyika Februari 10
Kamati ya Marekebisho ya Katiba ya TASWA imeandaa mapendekezo ya rasimu iliyoandaliwa kwa kuangalia Katiba za vyama mbalimbali duniani vinavyohusiana na waandishi wa habari za michezo na pia kupitia muongozo kutoka Chama cha Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS), ambacho TASWA ni mwanachama.
Pia Kamati imechambua Katiba ya sasa ya TASWA na kupokea maoni kutoka kwa waandishi wa habari za michezo kuhusu maeneo yenye upungufu kwa nia ya kuiboresha.
Maeneo mbalimbali yamefanyiwa kazi katika rasimu hiyo baadhi yakiwa ni sifa za mwanachama, wajibu wa mwanachama, muundo wa uongozi, sifa za viongozi na pia ukomo wa uongozi. Pia kuna mapendekezo katika rasimu hiyo ya kuanzishwa kamati mbalimbali kwa nia ya kuisaidia Kamati ya Utendaji.
Kamati ya Katiba ya TASWA imeundwa kutokana na agizo la Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe aliyeitaka BMT isitishe uchaguzi wa TASWA uliokuwa umepangwa kufanyika Novemba 25 mwaka jana na badala yake BMT ikutane na viongozi wa TASWA pamoja na baadhi ya wanahabari wa michezo kuona namna ya kuifanyia marekebisho Katiba ya TASWA iendane na wakati.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2WNoCP3
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms