Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imepiga Kambi Jijini Arusha kujiandaa na Fainali za Afrika za Vijana U17 zitakazofanyika Tanzania mwezi Aprili.
Afisa Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Mario Ndimbo amesema leo mjini Dar es Salaam kwamba kwa sasa Serengeti Boys inaendelea na maandalizi katika Uwanja wa Aghakhan mazoezi yakifanyika asubuhi na jioni.
Itarudi Dar es salaam mwishoni mwa mwezi Februari kabla ya kuondoka Machi 1,2019 kueleka nchini Uturuki kwenye mashindano ya UEFA ASSIST yanayoshirikisha timu 8 za Afrika na timu 4 za Ulaya zilizogawanywa kwenye makundi 3.
Wachezi 31 wapo Kambini Jijini Arusha wakiendelea na mazoezi hayo kujiandaa na AFCON U17 itakayofanyika Tanzania.
Tayari nembo ya mashindano hayo imezinduliwa wakati vikao mbalimbali vya Kamati ya maandalizi vikiendelea.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2InNv0D
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms