Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) inaendelea kuwakumbusha wale wote wenye nia ya kuwa Mawakala wa Wachezaji fomu bado zinapatikana.
Fomu zinapatikana kwenye tovuti ya TFF www.tff.or.tz kwa ada ya dola 100.
Baada ya kujaza fomu inayoambatana na taarifa zako kutoka Interpol utalipia ada ya dola 2000 kupitia akaunti ya Bank ambayo ipo kwenye fomu.
Mpaka sasa ni kampuni moja pekee ya Sports Soccer Management ndio inatambulika kufanya shughuli za Uwakala.
TFF inasisitiza yeyote ambaye hana leseni hatambuliki kama ni Wakala na rai yetu kwao ni kuhakikisha wanasajiliwa na kutambulika kihalali.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2TMQh0N
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms