Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
WAWAKILISHI wa Zanzibar kwenye Kombe la Shirikisho, Malindi SC nao wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Mogadishu City ya Somalia katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya kwanza jioni ya leo Uwanja wa Amaan.
Sasa Malindi watajaribu tena bahati yao katika mchezo wa marudiano utakaofanyika Zanzibar pia wiki ijayo kwa ombi la wageni na mshindi atakutana na mwakilishi wa Misri.
Matokeo hayo yanakuja siku moja baada ya jana, KMKM SC kuchapwa 2-0 na Primiero de Agosto ya Angola katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya kwanza Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zitarudiana wiki ijayo mjini Luanda na mshindi wa jumla atakutana na mshindi kati ya Green Eagles FC ya Zambia na Orlando Pirates ya Afrika Kusini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2YE8nbL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms