• Home
  • About Us
  • Contact Us
  • Disclaimer
  • Sitemap
  • Privacy Policy

Viral Sports

MENU

  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
  • BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
  • Hollywoodbets Sports Blog

Mengenai Saya

admin blog
Lihat profil lengkapku

Arsip Blog

  • ►  2025 (310)
    • ►  Desember (62)
    • ►  November (4)
    • ►  September (1)
    • ►  Juli (2)
    • ►  Juni (8)
    • ►  Mei (44)
    • ►  April (66)
    • ►  Maret (36)
    • ►  Februari (57)
    • ►  Januari (30)
  • ►  2024 (832)
    • ►  Desember (57)
    • ►  November (49)
    • ►  Oktober (54)
    • ►  September (67)
    • ►  Agustus (63)
    • ►  Juli (78)
    • ►  Juni (68)
    • ►  Mei (84)
    • ►  April (92)
    • ►  Maret (77)
    • ►  Februari (65)
    • ►  Januari (78)
  • ►  2023 (1299)
    • ►  Desember (79)
    • ►  November (75)
    • ►  Oktober (88)
    • ►  September (95)
    • ►  Agustus (112)
    • ►  Juli (125)
    • ►  Juni (126)
    • ►  Mei (117)
    • ►  April (148)
    • ►  Maret (135)
    • ►  Februari (82)
    • ►  Januari (117)
  • ►  2022 (1404)
    • ►  Desember (71)
    • ►  November (79)
    • ►  Oktober (117)
    • ►  September (120)
    • ►  Agustus (115)
    • ►  Juli (119)
    • ►  Juni (121)
    • ►  Mei (123)
    • ►  April (121)
    • ►  Maret (119)
    • ►  Februari (130)
    • ►  Januari (169)
  • ►  2021 (2522)
    • ►  Desember (170)
    • ►  November (124)
    • ►  Oktober (138)
    • ►  September (190)
    • ►  Agustus (154)
    • ►  Juli (141)
    • ►  Juni (133)
    • ►  Mei (134)
    • ►  April (252)
    • ►  Maret (348)
    • ►  Februari (355)
    • ►  Januari (383)
  • ►  2020 (4463)
    • ►  Desember (387)
    • ►  November (405)
    • ►  Oktober (348)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (435)
    • ►  Juli (433)
    • ►  Juni (372)
    • ►  Mei (244)
    • ►  April (248)
    • ►  Maret (355)
    • ►  Februari (392)
    • ►  Januari (450)
  • ▼  2019 (4532)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (367)
    • ►  Oktober (420)
    • ►  September (394)
    • ▼  Agustus (411)
      • UK Racing Best Bets - Sunday 1 September
      • BARCELONA YABANWA, YATOA SARE YA 2-2 NA OSASUNA LA...
      • LIVERPOOL YASHINDA MECHI YA 13 MFULULIZO LIGI KUU ...
      • DULLAH MBABE ATWAA TAJI LA WBO BAADA YA KUMPIGA MC...
      • AGUERO AFUNGA MAWILI MAN CITY YAICHAPA BRIGHTON 4-0
      • TAMMY ABRAHAM APIGA MBILI LAKINI CHELSEA YALAZIMIS...
      • REFA AWANYIMA PENALTI MAN UNITED WATOA SARE 1-1 NA...
      • KABWILI NA ALLY NG’ANZI WAITWA KIKOSI CHA BARA CHI...
      • MO DEWJI AWATULIZA WANA SIMBA SC BAADA YA KUTOLEWA...
      • Fairview Best Bets Monday 2 September 2019
      • Hollywoodbets Greyville Best Bets - Sunday 01 Sept...
      • Turffontein Best Bets Saturday 31 August 2019
      • UK Racing Tips - Saturday 31 August 2019
      • Europa League Group Stage Draw
      • Player Profile: Pukki the ‘Finn’isher
      • International Racing: Sha Tin Best Bets Sunday 1 S...
      • Stand a chance to win a R500 SPAR voucher
      • Imali or Ibhokisi Terms and Conditions
      • International Rugby: Georgia v Scotland Preview
      • Aphiwe Dyanti B Sample Returns Positive for Banned...
      • French Top 14: Round 2 Preview
      • New Racing Markets: Racing Blitz and Daily Double
      • UEFA Champions League Awards and Reactions
      • Phaka Predictions - Currie Cup Semi Finals
      • Champions League Draw: Liverpool Grouped with Napoli
      • TAIFA STARS WALIVYOANZA KUJIFUA LEO BOKO VETERANI ...
      • SAMATTA APANGIWA LIVERPOOL, NAPOLI NA SALZBURG KUN...
      • VAN DIJK NDIYE MWANASKA BORA ULAYA, AWAANGUSHA MES...
      • JKT TANZANIA 1-3 SIMBA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
      • UK Racing Best Bets - Friday 30 August 2019
      • SIMBA SC YAANZA VYEMA LIGI KUU, YAWACHAPA JKT TANZ...
      • Spring's the Thing!
      • EPL: Arsenal vs Tottenham Preview
      • MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA TFF, NASSIB AFARIKI DU...
      • Fairview Best Bets Friday 30 August 2019
      • ATP Tour 2019: US Open Preview (Round of 64)
      • WTA Tour 2019: US Open Preview (Round of 64)
      • SANCHEZ ATUA MILAN KUKAMILISHA UHAMISHO WA MKOPOPO
      • UK Racing Tips - Thursday 29 August 2019
      • JACKPOT KUBWA YA KIHISTORIA YA TANZANIA, SH MILION...
      • YANGA SC 0-1 RUVU SHOOTING (LIGI KUU YA TANZANIA B...
      • KMC 0-1 AZAM FC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
      • YANGA SC YAANZA VIBAYA LIGI KUU, YACHAPWA BAO 1-0 ...
      • EPL: Arsenal vs Tottenham Preview
      • German Bundesliga: Week 3 Preview
      • English Premier League: Gameweek 4 Preview
      • Italian Serie A: Week 2 Preview
      • MTN8: Semifinals 1st Leg Preview
      • Hollywoodbets Scottsville Polytrack - Results and ...
      • European Tour: Omega European Masters
      • NFD: Week Three Preview
      • Spanish La Liga: Gameweek Three Preview
      • Rugby World Cup: Top Try Scorer Tips
      • Rugby World Cup: Top Try Scorer Tips
      • Mitre 10 Cup: Round 4 Preview
      • MAHOJIANO MAALUM BIN ZUBEIRY NA DOUGLAS MUHANI, MC...
      • All Blacks Announce Powerful World Cup Squad
      • Hollywoodbets Scottsville - Wednesday 28 August 20...
      • Currie Cup Semi-Final: Cheetahs v Sharks Preview
      • Rassie Made the Right Calls
      • SIMBA SC KUTOLEWA MAPEMA LIGI YA MABINGWA KUNA FUN...
      • AZAM FC YAANZA VYEMA LIGI KUU TANZANIA BARA, YAICH...
      • What We Learned from the past Weekend of Rugby Action
      • Springbok Player Profile: Siya Kolisi
      • WTA Tour: US Open Preview
      • ATP Tour: US Open Preview
      • Hollywoodbets Murray Cup 2019 - Semi-Final Results
      • 2019 KZN Racing Awards
      • UK Racing Best Bets - Wednesday 28 August 2019
      • WACHEZAJI 40 WAITWA KIKOSI CHA AWALI CHA TIMU YA T...
      • First T20I: Sri Lanka vs New Zealand
      • Second Test: West Indies vs India
      • Ravichandran Ashwin vs Quinton de Kock - the key c...
      • Durbanville Tuesday 27 August 2019 Best Bets
      • HONGERA YANGA SC KWA KUITOA ROLLERS, LAKINI ILI KU...
      • UK Racing Best Bets - Tuesday 27 August 2019
      • 31 Springboks Announced for the 2019 Rugby World C...
      • Team of the Week: EPL Round 3
      • GRIEZMANN APIGA MBILI BARCELONA YAICHAPA REAL 5-2 ...
      • Rugby World Cup News: Week 5
      • Brutal England Pound Ireland at Twickenham
      • Sharks hold off 14-Man Bulls to Qualify for Currie...
      • Flamingo Park Best Bets Monday 26 August 2019
      • UK Racing Tips - Monday 26 August 2019
      • KOVALEV AMDUNDA ANTHONY YARDE KWA KO RAUNDI YA 11 ...
      • AGUERO AFUNGA MABAO MAWILI MANCHESTER CITY YASHIND...
      • LIPULI YAANZA VYEMA LIGI, YACHAPA MTIBWA SUGAR 3-1...
      • SIMBA SC 1-1 UD SONGO (LIGI YA MABINGWA AFRIKA)
      • SIMBA SC YAAMBULIA SARE 1-1 NYUMBANI NA UD SONGO N...
      • CHAMA, SHEKHAN NA MAREHEMU MUSSA MSANGI ENZI ZAO S...
      • Hollywoodbets Greyville Polytrack - Results and Re...
      • Rugby World Cup: Top Try Scorer Tips
      • Currie Cup 2019: Lions v Griquas Preview
      • MAHOJIANO MAALIM BIN ZUBEIRY NA ISSA MANOFU
      • AZAM FC 3-1 FASIL KENEMA (KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA)
      • KMC 1-2 AS KIGALI (KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA)
      • TOWNSHIP ROLLERS 0-1 YANGA SC (LIGI YA MABINGWA AF...
      • UK Racing Best Bets - Sunday 25 August 2019
      • SALAH APIGA MBILI LIVERPOOL YAWABAMIZA ARSENAL 3-1...
      • CHELSEA YA LAMPARD YAZINDUKA ENGLAND, YASHINDA 3-2...
    • ►  Juli (364)
    • ►  Juni (318)
    • ►  Mei (360)
    • ►  April (382)
    • ►  Maret (419)
    • ►  Februari (365)
    • ►  Januari (404)
  • ►  2018 (5483)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (450)
    • ►  Oktober (535)
    • ►  September (484)
    • ►  Agustus (487)
    • ►  Juli (481)
    • ►  Juni (431)
    • ►  Mei (483)
    • ►  April (393)
    • ►  Maret (435)
    • ►  Februari (419)
    • ►  Januari (557)
  • ►  2017 (5921)
    • ►  Desember (477)
    • ►  November (567)
    • ►  Oktober (506)
    • ►  September (518)
    • ►  Agustus (555)
    • ►  Juli (535)
    • ►  Juni (465)
    • ►  Mei (471)
    • ►  April (459)
    • ►  Maret (448)
    • ►  Februari (441)
    • ►  Januari (479)
  • ►  2016 (2138)
    • ►  Desember (445)
    • ►  November (509)
    • ►  Oktober (482)
    • ►  September (466)
    • ►  Agustus (236)
Diberdayakan oleh Blogger.
Home » BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE » NAOMBA NIONGEE NA WANANCHI BAADA YA WIKI YA MWANANCHI KUTAMATIKA!

NAOMBA NIONGEE NA WANANCHI BAADA YA WIKI YA MWANANCHI KUTAMATIKA!

Na Dominick Salamba, DAR ES SALAAM
KATIKA hali isiyotarajiwa na pengine kuonekana ni mshangao wa wengi kuanzia wale waliokuwa majumbani hata wale ambao walifika uwanjani nazungumzia uwanja wa Taifa kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi ambapo klabu ya Yanga SC ilikuwa ikitamatisha wiki ya hamasa na mambo mbalimbali yaliyofanyika nchi nzima na mwishowe kumalizia katika uwanja wa Taifa,Ilikuwa ni historia mpya kwa klabu hiyo kongwe umati mkubwa wa watu ulijieleza kwa namna wapenzi wa soka walivyo na shauku na timu yao..Sikushangaa nilipoongea na kipa wa Kariobang sharks na alipokiri kuwa kule kwao Kenya huwezi kuta kitu kama hiki na hata umati ule hakuamini kuwa ni mashabiki wa timu moja na kwenda mbali na kusema Tanzania mna bahati ya kupata mashabiki wapenda soka kama hawa.

Nikianza na hili la umati na hamasa kubwa kiasi kile kwanza nianze kuwapongeza kamati ya utendaji chini ya mwenyekiti Dr. Msolwa pamoja na kamati ya hamasa ambayo imeongozwa vema na mwenyekiti wake Mh.Antony Mavunde pamoja na katibu wake Bwana Deo Mutta pamoja na wajumbe wote kiukweli walifanya kazi kubwa sana hadi kufikia kilele cha kufana kiasi kile,kwani wameweza kuwaunganisha mashabiki wa Yanga nchi nzima mikoa karibu yote ilileta wawakilishi nilipata bahati kuona vikundi vya mashabiki kutoka Geita, Mbeya, Iringa, Morogoro, Tanga, Dodoma na mikoa mingine jambo ambalo limefanyika kwa hiari na hamasa kubwa.
Lakini pia mpangilio wa kuingia uwanjani,upatikanaji wa tiketi na taratibu zingine walijitahidi sana kufanikisha kwa kiasi kikubwa sana jambo ambalo ni la kupongezwa ingawa pongezi kubwa ziende kwa mashabiki ambao walijitoa sana na kufanikisha zoezi hilo kubwa la kihistoria..
Mapungufu hayakosekani kwani ni sehemu ya ubinadamu na kwakuwa ni mwanza nadhani yatarekebishwa ili kulifanya tukio hili kuzidi kufanikiwa mwaka hadi mwaka ili iwe ni miongoni mwa SIKUKUU  nchi nzima. hongereni sana wote mlioshiriki kwa namna moja au nyingine.
Tuje kwa upande wa timu  ambayo ndio ilikuwa sababu ya umati wote kama ifuatavyo.

USAJILI
Jana nimepata nafasi ya kuwashuhudia wachezaji waliosajiliwa na kupata nafasi ya kucheza ingawa niliwaona wakiwa mazoezini pia Morogoro ila mazoezi ni tofauti na mechi kwa kiwango kikubwa ni usajili mzuri kwani wengi ni vijana wana hari na kupenda kujifunza lakini hata mtazamo wao ni wa kiushindani uku umri wao wa wastani ukiwa ni sababu tosha ya kuwaongezea shauku ya kushindana namzugumzia,Balama Mapinduzi,Ally Mtoni,Kalengo,Mustafa,Sibomana,Balinya,Shikalo,Lamine na Muharami ukiangalia ni vijana ambao wana vipaji na bado wanafundishika jambo linalotoa nafasi kwa benchi la ufundi kuweza kuwatumia kwa kadri ya mipango yao katika hili natoa hongera zangu kwani wamesajili vizuri..Achilia mbali vijana wengine amba jana hawakupata nafasi ya kucheza kama ally alli,Makame,na metacha ambao pia wana uwezo mzuri pia..

HALI YA MCHEZO WA JANA.
Jana ndio siku ambayo Yanga SC ilipata kipimo sahihi kwani mechi nyingi za awali huko Morogoro zilikuwa ni za chini kama siyo kawaida hivyo hali halisi ya ushindani haikuwa nzuri. Kwanza nimeona mabadiliko ya kimfumo kwani tumezoea kuona yanga ikicheza mfumo wa 4-2-3-1 tangu mwalimu Zahera ajiunga na timu na kuna wakati alikuwa akitumia mfumo wa 4-4-2 pia jambo ambalo lilifanya yanga kutumia mda mwingi mshambuliaji  mmoja na nguvu kubwa ilitumiaka kwenye winga..Lakini katika mechi ya jana nimeona mabadiliko ya mfumo na kuwa 3-5-2 ambapo upande wa ulinzi kulikuwa na Lamine kama beki wa kati,kulia Mustafa na kushoto Ally Mtoni.Sehemu ya kiungo kulikuwa na viungo 5 sehemu ya kati Papyy Kabamba,akiwa sambamba na Banka na Balama huku pembeni kushoto Muharani na kulia Sibomana huku mbele kukiwa na washambuliaji wawili Sadney na Balinya.
Kiuchezaji ni mfumo mzuri ambao unaiwezesha timu kumiliki mpira mda mwingi na kushambulia kupitia pembeni uku ikimudu vema kufanya mashambulizi ya kushitukiza kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wachezaji kuanzia endeo la kati kwenda mbele kwani kunakuwa na wachezaji 6 hadi 7  kitu ambacho kama ukiwa na wachezaji shapu na wenye mbio ni rahisi kupata mabao lakini pia ni mfumo ambao kama ukitumika vizuri unafanya timu pinzani kushindwa kupitia kati na kuwalazimu kupitia pembeni muda mwingi wa mchezo.
Katika mfumo huu mpya ambao jana ulitumia pia niligundua mapungufu yafuatayo:.
1_ Yanga walikuwa wazuri kushambulia kutoke nyuma ila walikosa uwiano pale walipopoteza mpira na kuwa na idadi ndogo ya walinzi na endapo Kariobang wangekuwa makini wangepata mabao mengi kwani viungo walichelewa kurudi kuzuia na kutoa nafasi kubwa kufanya walinzi wake 3 kucheza kwenye umbali mkubwa ndio mana hata goli la Sharks lilipitia kati kwani Yanga walikosa uwiano katika eneo hilo.
2_ Bado maelewano ya Kabamba,Banka na Balama hayapo sawa muda mwingi Kabamba anakimbia maeneo mengi na kutozingatia eneo la kiungo cha nyuma jambo lilipelekea muda mwingi Balama kuingia ndani na kusaidia kukaba na kupunguza kasi ya kuisukuma timu mbele pamoja na Banka na kufanya Balinya kushuka chini na Sadney kusogea pembeni kutafuta uwezekano wa kupata mipira mda mwingi hivyo kwa tabia ya kabamba kupangwa kama kiungo mkabaji inaweza kuwagharimu yanga endapo itakutana na timu yenge winga zenye kasi..
3_ Kukosekana kwa mchezaji ambaye anauwezo wa kupiga pasi ndefu ili kutumia mashambulizi ya kushitukiza kwani Sadney ni mpambanaji na anauwezo wa kuwalazimisha walinzi wa timu pinzani kufanya makosa lakini pia sadney asitumike kama mshambuliaji wa mwisho badala yake awe mshambuliaji wa pili ili aifanye kazi ya kukimbizana na mabeki..
Hayo ni baadhi ya mapungufu ingawa kwa upande wa staminia na pumzi timu ipo vizuri sana nimeona wachezaji wakiutaka mpira mda wote tofauti na msimu uliopita ambapo wachezaji walikuwa wanatembea uwanjani na kukosa hamu ya kuucheza mpira.
4_ Bado muunganiko wa kitimu haujakaa sawa sehemu kubwa ni uwezo wa mchezaji mmojammoja hivyo kuna hitajika jitihada za makusudi kulinganisha na muda uliobaki ili kupata muunganiko wa timu ili sasa timu itembee kwenye mdundo mmoja na hii imechangiwa na kukosa mechi ngumu za kiushindani kwa mda wote wa kambi..lakini pia kwa kikosi kilichopo ni vema wakatumia zaidi mfumo wa 4-3-3 kwani wachezaji wenye kasi,ubunifuni,unyumbulifu na maarifa wanao jambo ambalo litawapa faida kubwa na kupata matokeo..
Mwisho, nitoe ushauri kwa uongozi wa timu kuwa huu sio wakati wa kushangilia mafanikio ya jana ni wakati wa kufanya kazi ule umati wa jana unatakiwa kulindwa na kuongezwa na si jambo dogo ni jitihada zifanyike na kuwa wamoja ili mafanikio yaliyoanza kuonekena yazidi kunawiri vinginevyo itakua ni kama ndoto za mchana ambazo uwa tamu lakini fupi,lakini lazima wajihadhari na migogoro ya kutengenezwa kwani migogoro hiyo huwa na faida kwa wanaoianzisha na uvuruga sana mshikamano ndani ya timu lazima kazi ifanyike na kuleta umoja na kuendeleza mazuri ambayo yameanza kuonekana.
Pia ni vema kuhakikisha kuwa changamoto mbalimbali za wachezaji na timu kwa ujumla zinatatuliwa na kama ambavyo uongozi uliamua kuacha jukumu la usajili kwa mwalimu basi waendelee kumuamini ili afanye kazi kitaalamu na kama kuhukumiwa iwe baada ya kumpa yale aliyoyataka ili kufanikisha ushindi..
Kwa kumalizia nawatakiwa maandalizi mema ya mchezo wa hatua ya awali dhidi ya Township Rollers utakaofanyika mwishoni mwa wiki hii. Asanteni kwa jana nimewakubali saluti kwenu hata sisi Stand United tutajifunza kwa yale ya wiki nzima ya Mwananchi.

(Dominick Salamba ni mchambuzi wa soka na anapatikana kupitia Instagram akaunti yake kupitia@dominicksalamba na anapatikana pia kwa namba +255 713 942 770)


from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2YE3M4B best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm, lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today, mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma, mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer, mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney, mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390, mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Tweet

Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NAOMBA NIONGEE NA WANANCHI BAADA YA WIKI YA MWANANCHI KUTAMATIKA!. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/08/naomba-niongee-na-wananchi-baada-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.

Related Posts

di 02.47
Label: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE

{ 0 komentar... read them below or add one }


Posting Komentar

Posting Lebih Baru Posting Lama Beranda

Popular Posts

  • MSHIRIKI MISS AFRIKA UINGEREZA AHADITHIA MAMBO YALIVYO
    MSHIRIKI MISS AFRIKA UINGEREZA AHADITHIA MAMBO YALIVYO
    MTANZANIA Alice Gyunda miongoni mwa washiriki 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika waliofanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha taj...
  • BARCELONA 3-1 ALAVES
    BARCELONA 3-1 ALAVES
    from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2s2Iqyx
  • TUZO ZA LIGI KUU ZABORESHWA, SASA WACHEZAJI KUPEWA NA KING'AMUZI CHA AZAM TV
    Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura, akionyesha tuzo atakayokuwa akipewa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya Vod...
  • ARSENAL YAMUONGEZEA MSHAHARA SANCHEZ ASIENDE BAYERN MUNICH
    KLABU ya Arsenal imempa ofa nyingine mshambuliaji wake, Alexis Sanchez aachane na mpango wa kwenda Bayern Munich na abaki Emirates. Ofa mp...
  • EPL: Week 36 Preview
    EPL: Week 36 Preview
    We preview week 36 of the 2017/18 English Premier League season which is set to get underway on Saturday 28 April.  We’re into the final s...
  • Woolavington 2000 - Final Field
    View the final field and betting for the Grade 1 Woolavington 2000 at Greyille this Saturday 3 June 2017. The final field for the Woolav...
  • NFD: Week 20 Preview
    NFD: Week 20 Preview
    This will be a tricky week in the GladAfrica Championship with some of the teams having the Nedbank Cup last 32 action in mind. However, I...
  • Cup Finals Weekend Preview
    We take a look at this weekend's big European Cup Final ties. Most of Europe’s big leagues are done and dusted but there’s still the...
  • CHELSEA YAREJEA KILELENI ENGLAND
    CHELSEA YAREJEA KILELENI ENGLAND
    BAO pekee la beki wa kimataifa wa England, Ben Chilwell dakika ya 45 limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Brentford Uwanja wa...
  • YANGA YAWASIMAMISHA NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO
    YANGA YAWASIMAMISHA NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO
    KLABU ya Yanga imewasimamisha wachezaji wake wawili, Dickson Ambundo na Mrundi Saido Ntibanzokiza kuelekea mechi ya Fainali ya Kombe la S...
Copyright Viral Sports: NAOMBA NIONGEE NA WANANCHI BAADA YA WIKI YA MWANANCHI KUTAMATIKA!