PAMBANO la marudiano kati ya Anthony Joshua na Andy Ruiz Jr litafanyika Deaemba 7 mjini Diriyah nchini Saudi Arabia.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa leo, imethibitisha pambano hilo la kuwania mataji ya IBF, WBA na WBO litafanyika Uarabuni mwishoni mwa mwaka.
Jiji la New York na Uwanja wa Cardiff waliwania kuwa wenyeji wa pambano hilo, lakini wakazidiwa kete na Diriyah kufuatia Mamlaka ya Michezo ya Saudi Arabia kuweka kiasi cha dola za Kimarekani Milioni 100 kupewa uenyeji.
Pambano la marudiano Anthony Joshua na Andy Ruiz Jr litafanyika Deaemba 7 mjini Diriyah nchini Saudi Arabia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AJ anatarajiwa kuzichapa tena na Mmexico baada ya kuchapwa kwenye pambano la kwanza ukumbi wa Madison Square Garden, New York nchini Marekani Juni 1, mwaka huu.
Joshua mwenye urefu wa futi sita alivuliwa mataji yake yote ya dunia ya uzito ya IBF, WBA na WBO baada ya kupigwa na Ruiz kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba.
Hilo lilikuwa ni pambano la kwanza Joshua kupoteza baada ya kushinda mapambano yake yote 22 ya awali, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne alishinda pambalo la 32 na 22 kwa KO, huku akiwa amepoteza pambano moja pia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MilTeL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang PAMBANO LA MARUDIANO RUIZ NA JOSHUA DESEMBA 7 SAUDI ARABIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/08/pambano-la-marudiano-ruiz-na-joshua.html. Terimakasih atas perhatiannya.