Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TANZANIA itamenyana na Burundi katika hatua ya awali kuwania kupangwawa kwenye makundi ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2022 nchini Qatar.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotoka leo, mechi ya kwanza baina ya Taifa Stars na Int’hamba Murugamba itachezwa Uwanja wa Taifa mjini Bujumbura Septemba 2 kabla ya timu hizo kurudiana Septemba 10 mjini Dar es Salaam.
Mechi nyingine Ethiopia itamenyana na Lesotho, Somalia na Zimbabwe, Eritrea na Namibia, Djibouti na Eswatini, Botswana na Malawi, Gambia na Angola na Liberia dhidi ya Sierra Leone.
Nao Mauritius watamenyana na Msumbiji, Sao Tome na Principe dhidi ya Guinea-Bissau, Sudan Kusini na Equatorial Guinea, Comoro na Togo, Chad na Sudan na Shelisheli dhidi ya Rwanda.
Washindi 14 wa jumla wataungana na timu nyingine 26 za viwango vya juu barani, wakiwemo majirani Kenya na Uganda kugawanywa kwenye makundi 10 ya timu tano kila moja kuanza rasmi kuwania tiketi ya Qatar 2022.
Washindi wa makundi yote wataingia hatua ya tatu na ya mwisho ya mwisho ya mbio hizo za Qatar.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Yzkmr3
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms