Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku wa leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam.
Ushindi huo wa kwanza chini ya Mromania Aristica Cioaba tangu arejeshwe unaifanya Azam FC ifikishe pointi 13 baada ya kucheza mechi saba na kupanda hadi nafasi ya 11 kutoka ya 14.
Mabao ya Azam FC katika mchezo wa leo yamefungwa na kiungo Idd Suleiman ‘Nado’ dakika ya pili akimalizia pasi ya Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma na beki Mganda, Nicolas Wadada dakika ya 23 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mzambia Obrey Chirwa.
Mechi nyingine za Ligi Kuu leo, YANGA SC imeshinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Ndanda FC 1-0 bao pekee nyota wa Rwanda Partrick Sibomana dakika ya 76 Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.
Nayo Kagera Sugar imeendelea kufanya vizuri baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, KMC Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.
Mabao ya Kagera Sugar inayofundishwa na Nahodha wa zamani wa Taifa Stars, Mecky Mexime yamefungwa na viugno Awesu Awesu kwa penlati dakkika ya 25 na Peter Mwalyanzi dakika ya 48, wakati la KMC ya kocha Mganda, Jackson Mayanja limefungwa na Serge Nogues dakika ya 86.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2WXN8h0
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms