Ciro Immoble akishangilia baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika ya nane na 33 katika ushindi wa 9-1 dhidi ya Armenia kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Renzo Barbera mjini Palermo. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Nicolo Zaniolo dakika ya tisa na 64, Nicolo Barella dakika ya 29, Alessio Romagnoli dakika ya 72, Jorginho kwa penalti dakika ya 75, Riccardo Orsolini dakika ya 77 na Federico Chiesa dakika ya 81, wakati bao pekee la Armenia limefungwa na Edgar Babayan dakika ya 79. Kwa ushindi huo, Italia ambayo tayari imekwishafuzu Euro ya mwakani, inafikisha pointi 30 katika mchezo wa 10, sasa wakiizidi pointi 12 Finland inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2NZ1ESB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms