Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imeshindwa kutoa uamuzi juu ya shitaka la kimaadili linalomuhusu kiungo wa Simba, Bernard Morrison, baada ya mchezaji huyo kutoa udhuru na kushindwa kufika kwenye kamati hiyo kwa madai ya kukabiliwa na majukumu ya klabu yake.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Wakili Kichere Mwita Waissaka alisema jana kwamba Morrison alituma wawakilishi ambao ni mawakili wake, lakini kutokana na uzito wa shauri lenyewe, kamati inamuhitaji mlalamikiwa mwenyewe badala ya wawakilishi ambao wasingeweza kujibu baadhi ya maswali.
“Kamati iliona kwamba kuna maswala yanatakiwa kujibiwa na yeye mwenyewe badala ya wawakilishi, kwahiyo suala lake liliahirishwa”, amesema Kichere.
Morrison anakabiliwa na shtaka la kudharau kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kwa kitendo chake cha kusaini mkataba na Simba wakati shauri lake dhidi ya Yanga kuhusu mkataba wake likiwa bado halijaamuliwa.
Kuhusu rufaa ya Yanga kwenye Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo (CAS), Kichere amesema rufaa hiyo haihusiani na shauri lililopelekewa kwenye kamati hiyo, kwani rufaa ya Yanga inahusu usajili wakati shauri lililo mbele yao linahusu maadili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/33WOiyw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms