WENYEJI, Namungo FC wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Ihefu SC ya Mbarali, Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Majaliwa. Ruangwa mkoani Lindi.
Ihefu ya kocha Zubery Katwila ilitangulia kwa bao la Raphael Daudi dakika ya 23, kabla ya Ibrahim Mkoko kuisawazishia Namungo inayonolewa na Hemed Suleiman 'Morocco' dakika ya 61.
Kwa matokeo hayo, Namungo FC inafikisha pointi 28 baada ya kucheza mechi 19, ingawa inabaki nafasi ya 10, wakati Ihefu sasa ina pointi 21 za mechi 25 na inasalia nafasi ya 17 kwenye ligi ya timu 18.
Mechi nyingine ya Ligi Kuu leo, Mbeya City imelazimishwa sare ya bila mabao na Kagera Sugar ya Bukoba Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mbeya City ya kocha Mganda, Mathias Lule inafikisha pointi 21 baada ya kucheza mechi 24 ingawa inabaki nafasi ya 16, wakati Kagera Sugar ya kocha Mkenya, John Barasa inafikisha pointi 26 baada ya kucheza mechi 25, japokuwa inabaki nafasi ya 13.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3fTSrtl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms