KLABU ya Singida Black Stars imemuuza mshambuliaji wake chipukizi, Suleiman Mwalimu Abdallah 'Gomez' kwa dau ambalo halijatajwa kujiunga na Wydad Club Athletic ya Morocco.
Mwalimu (26) anakwenda Wydad baada ya kucheza kwa mkopo Fountain Gate FC mzunguko wote wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara na amefunga mabao sita na anashika nafasi ya tatu katika chatu ya wafungaji mabao mengi, nyuma ya Mkenya, Elvis Baranga Rupia nane na Muivory Coast, Jean Charles Ahoua saba.
Anakuwa Mtanzania wa pili tu kuingia kwenye orodha ya wachezaji wa Wydad Club Athletic maarufu kama Wydad Casablanca baada ya kiungo mshambuliaji Simon Happygod Msuva aliyechezea timu hiyo Kati ya mwaka 2020 na 2021.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/pi5Jx6L
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SULEIMAN MWALIMU ‘GOMEZ’ ATUA WYDAD CASABLANCA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/01/suleiman-mwalimu-gomez-atua-wydad.html. Terimakasih atas perhatiannya.