TANZANIA imepangwa Kundi C katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazofanyika kuanzia Desemba 21 mwaka huu hadi Januari 18 mwakani, 2026 pamoja na jirani zao, Uganda, Tunisia na Nigeria.
Katika Droo ya upangaji makundi ya AFCON 2025 iliyofanyika usiku wa Jumatatu ukumbi wa Mohammed V National Theatre Jijini Raba nchini Morocco, wenyeji wa Fainali hizo wapo Kundi A pamoja na Mali, Zambia na Comoro, wakati mabingwa watetezi, Ivory Coast wapo Kindi F pamoja na Cameroon, Gabon na Msumbiji.
Kundi B linazikutanisha Misri, Afrika Kusini, Angola na Zimbabwe, wakati D kuja Senegal, DRC, Benin na Botswana na Kundi E wapo Algeria, Burkina Faso, Equatorial Guinea na Sudan.
MAKUNDI YOTE AFCON 2025 MOROCCO
KUNDI A: Morocco, Mali, Zambia, Comoro
KUNDI B: Misri, Afrika Kusini , Angola, Zimbabwe
KUNDI C: Nigeria, Tunisia, Uganda, Tanzania
KUNDI D: Senegal, DRC, Benin, Botswana
KUNDI E: Algeria, Burkina Faso, Equatorial Guinea, Sudan
KUNDI F: Ivory Coast, Cameroon, Gabon, Msumbiji
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/cJId6Vx
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms