MWIMBAJI mkongwe wa taarab aliyeitikisa Afrika Mashariki kwa sauti yake tamu, Bi Shakila Said amefariki dunia usiku huu.
Kwa mujibu wa www.saluti5.com mtoto wa marehemju aitwaye Shani amesema kwamba Bi Shakila amefariki baada ya kudondoka ghafla.
“Mama hakuwa mgonjwa hata kidogo, aliswali swala ya magharibi vizuri na baadae kidogo akadondoka na kufariki,” alisema Shani huku akilia.
Bi Shakila amefia nyumbani kwake Charambe jijini Dar es Salaam na mwili wake tayari umepelekwa kuhifadhiwa katika hospitali ya Temeke.
Kwa mujibu wa Shani, kwa sasa hivi bado hakuna utaratibu wowote wa mazishi uliopangwa.
Katika uhai wake Shakila alitamba zaidi katika vikundi vya Luck Star na Black Star za Tanga pamoja na JKT Taarab ya Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2bQcda5
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang GWIJI WA MUZIKI WA TAARAB, BI SHAKILA SAID AAGA DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/08/gwiji-wa-muziki-wa-taarab-bi-shakila.html. Terimakasih atas perhatiannya.