Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
VIJANA 10 wenye umri chini ya miaka 17, wamefanikiwa kuchaguliwa kwenye majaribio ya wazi yaliyoendeshwa na Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, jana Jumamosi katika Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.
Huo ni mwendelezo wa mpango wa mabingwa hao wa kutengeneza timu bora ya vijana wa umri huo kwa ajili ya kuwatumia kwa miaka ijayo na wengine kunufaika nao kwa kuwauza.
Katika majaribio hayo walijitokeza jumla ya vijana 406 kutoka sehemu tofauti na jiji hilo kabla ya kuchujwa na kufikia 29 na hatimaye kupatikana 10, ambao wataingia kwenye mchujo wa mwisho utakaofanyika Azam Complex mwezi ujao.
Mchujo huo wa mwisho utashirikisha vijana wengine 50, waliochaguliwa kwenye maeneo mengine saba nchini ambayo Azam FC tayari imeshayatembelea, ikiwemo mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro iliyojumuisha pia vijana wa mkoa wa jirani wa Dodoma pamoja na Visiwani Zanzibar (Unguja na Pemba).
Mkuu wa Maendeleo ya Soka la Vijana Azam FC, Tom Legg, anayeendesha zoezi hilo amefurahishwa na wingi wa vijana walijitokeza jijini Mbeya huku akiridhishwa na vipaji vyao akidai kuwa huo ni mwanga mzuri wa kutengeneza kikosi bora kwa manufaa ya Azam FC na Taifa kwa ujumla.
Kwa mujibu wa ripoti ya mpango huo, mpaka sasa Azam FC imeshawafanyia usaili vijana 2,999 kwenye maeneo yote nane waliyotembelea, wakichaguliwa 60 pekee kwa ajili ya kuingia katika mchujo wa mwisho wa fainali utaotoa vijana bora watakaounda timu hiyo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fgudtv
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang 10 WENGINE WAFUZU MAJARIBIO AZAM FC AKADEMI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/10-wengine-wafuzu-majaribio-azam-fc.html. Terimakasih atas perhatiannya.