Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Yanga, Isaac Shekiondo ‘Clinton’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Taarifa ya familia imesema kwamba, marehemu amefariki baada ya kuugua kwa muda na msiba upo nyumbani kwake, Ilala Mchikichini Kota.
Shekiondo alikuwa Makamu Mwenyekiti katika Kamati ya Muda ya Yanga chini ya Mwenyekiti, Tarimba Abbas ‘Thabo Mbeki’ na enzi zake anakumbukwa kutokana na ukarimu wake na uwajibikaji mzuri.
Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Isaac Shekiondo ‘Clinton’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema amezipokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa Shekiondo.
“Kwa kweli nimezipokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa Shekiondo. Namfahamu vizuri yule bwana, tumefanya naye kazi Yanga. Na tulikuwa naye kwenye mpira siku zote,”alisema Malinzi.
Rais wa zamani wa Yanga, Francis Kifukwe naye pia amesema amezipokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa Shekiondo.
“Kwa kweli ni msiba wetu sote wana Yanga. Shekiondo tulikuwa naye Yanga tena katika kipindi kigumu sana, lakini tulishirikiana vizuri kusukuma mbele gurudumu la timu. Mungu amuweke pema peponi,”amesema Kifukwe.
Bwana ametoa, bwana ametwaa. Mungu ampumzishe kwa amani marehemu Shekiondo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fcZUR7
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAKAMU MWENYEKITI WA ZAMANI YANGA AFARIKI DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/makamu-mwenyekiti-wa-zamani-yanga.html. Terimakasih atas perhatiannya.