Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
YANGA SC imepangwa Kundi B katika michuano ya kila mwaka ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar pamoja na Azam FC ya Dar es Salaam, Jamhuri na Zimamoto zote za Zanzibar.
Katika michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika Uwanja wa Amaan, Zanzibar kuanzia Desemba 30 hadi Januari 13 mwakani, Kundi A lina timu za Simba ya Dar es Salaam, Taifa ya Jang’ombe, Jang’ombe Boys, KVZ na mabingwa watetezi, URA ya Uganda.
Michuano hiyo itaanza Desemba 30 mwaka huu kwa Taifa ya Jang'ombe kumenyana na Jang'ombe Boys kuanzia Saa 2:30 usiku Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Kitimutimu kitaanza rasmi Januari 1 kwa mchezo kati ya mabingwa watetezi, URA dhidi ya KVZ kuanzia Saa 10:00 jioni kabla ya Simba kumenyana na Taifa ya Jang'ombe Saa 2:30 usiku.
Mechi za Kundi B zitaanza Januari 2, mwakani (2017) kwa Azam FC kumenyana na Zimamoto kuanzia Saa 10:00 jioni kabla ya Yanga kumenyana na Jamhuri Saa 2:30 usiku.
RATIBA KAMILI KOMBE LA MAPINDUZI.
Desemba 30, 2016
Taifa Jang'ombe vs Jang'ombe Boys (Saa 2:30 usiku)
Januari 1, 2017
KVZ VS URA (Saa 10:00 jioni)
Simba vs Taifa Jang'ombe (Saa 2:30 usiku)
Januari 2, 2017
Azam vs Zimamoto (Saa 10:00 jioni
Yanga vs Jamhuri (Saa 2:30 usiku)
Januari 3, 2017
Jang'ombe Boys vs URA (Saa 10:00 jioni) KVZ vs Simba (Saa 2:30 usiku)
Januari 4, 2017
Zimamoto vs Yanga (Saa 10:00 jioni)
Jamhuri vs Azam saa 2:30 usiku.
Januari 5, 2017
KVZ vs Jang'ombe Boys (Saa 10:00 jioni)
Simba vs URA (Saa 2:30 usiku)
Januari 6, 2017
Taifa Jang'ombe vs KVZ (Saa 2:30 usiku)
Januari 7, 2017
Jamhuri vs Zimamoto (Saa 10:00 jioni)
Yanga vs Azam (Saa 2:30 usiku)
Januari 8, 2017
Simba vs Jang'ombe Boys (Saa 10:00 jioni) Taifa Jang'ombe vs URA (Saa 2:30 usiku).
Januari 10, 2017
Nusu Fainali ya kwanza (Saa 10: 00 jioni)
Nusu Fainali ya Pili (Saa 2:30 usiku)
Januari 13, 2017
FAINALI
Saa 2: 30 usiku.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2h34sj1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA YAPANGWA NA AZAM, SIMBA NA URA KOMBE LA MAPINDUZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/12/yanga-yapangwa-na-azam-simba-na-ura.html. Terimakasih atas perhatiannya.