Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
KIUNGO mshambuliaji chipukizi wa Tanzania, Ayubu Reuben Lyanga ameondoka juzi nchini nchini kwenda Lusaka, Zambia kujiunga na mabingwa wa nchini humo, Zanaco FC.
Hiyo inafuatia kocha Mkuu wa timu hiyo, Numba Mumamba kumjaribu na kuridhishwa naye mchezaji huyo mwenye kipaji na kasi, hivyo kuamua kumpa nafasi.
Meneja wa mchezaji huyo, Jamal Kisongo ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba Lyanga alikuwa Zanaco kwa majaribio akafuzu na kusajiliwa kabla ya kurejea nyumbani kuaga na kwenda tena Lusaka kuanza rasmi maisha mapya.
“Kwa kweli Lyanga ni mchezaji mwenye kipaji ambaye binafsi nina matumaini naye sana kwamba anaweza kufika mbali, mengine tumuachie Mungu mwenyewe,”alisema Kisongo.
Mchezaji huyo anayeweza kucheza wingi zote mbili, kulia na kushoto ni mdogo wa mshambuliaji wa zamani wa Coastal Union ya Tanga na Simba SC ya Dar es Salaam, Daniel Lyanga ambaye kwa sasa anachezea Fanja ya Oman.
Na Kisongo alisema baada ya kuibua kipaji cha mchezaji huyo huko Moshi, akampeleka African Sports ya Tanga kucheza kupata uzoefu kabla ya kumpeleka Zambia.
“Amecheza Ligi Daraja la Kwanza mzunguko wa kwanza pale African Sports, baada ya kuona sasa amepata uzoefu kidogo ndiyo nimempeleka Zambia akajaribu bahati yake,”alisema.
Kisongo pia ndiye Meneja wa Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Ally Samatta ambaye kwa sasa anachezea KRC Genk ya Ubelgiji.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jb3ga1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KIUNGO MWENYE KIPAJI MTANZANIA ATUA ZANACO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/kiungo-mwenye-kipaji-mtanzania-atua.html. Terimakasih atas perhatiannya.