Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Yanga umesema kwamba hauna mpango wa kumfukuza kocha wake, Mzambia George Lwandamina baada ya timu kutolewa kwenye Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana, Katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit alisema kwamba uongozi unaridhishwa na kazi ya Lwandamina hadi sasa licha ya timu kutolewa katika Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi.
“Tunashangazwa na taarifa za kizushi kwamba Lwandamina anafukuzwa, afukuzwe kwa sababu gani. Hakuna kitu kama hicho. Lwandamina bado yupo, na ataendelea kuwapo,”alisema Baraka.
Yanga Imesema haIna mpango wa kumfukuza kocha wake, Mzambia George Lwandamina
Uvumi wa kwamba Lwandamina anafukuzwa Yanga ulianza kuzagaa juzi baada ya timu hiyo kutolewa na mahasimu, Simba SC katika Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi Jumanne usiku kwa penalti 4-2 baada ya sare ya 0-0.
Kipa wa Yanga, Deogratius Munishi ‘Dida’ aliokoa mkwaju wa beki Mzimbabwe Method Mwanjali wakati waliofunga penalti za timu hiyo ni Simon Msuva na kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.
Kipa Mghana wa Wekundu wa Msimbazi, Daniel Agyei aliokoa penalti za Dida na Mwinyi Hajji Mngwali na yeye mwenyewe kufunga penalti ya pili ya Wekundu wa Msimbazi, wakati Nahodha Jonas Mkude, Muzamil Yassin na beki Mkongo Janvier Besala Bokungu walifunga pia penalti za Simba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ikVeui
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA YASEMA HAINA MPANGO WA KUACHANA NA LWANDAMINA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/yanga-yasema-haina-mpango-wa-kuachana.html. Terimakasih atas perhatiannya.