SHABIKI namba moja wa timu ya Binslum F.C ya Muhimbili, Ramadhani Said ‘Rasco’ (pichani kulia) amefariki dunia alfajiri nyumbani kwao Mtoni, Temeke mjini Dar es Salaam.
Taarifa ya Binslum F.C. imesema kwamba wamepata pigo kutokana na msiba wa jamaa yao, Rasco ambaye alikuwa alama ya timu yao popote inapocheza.
“Taratibu za mazishi zitatolewa na familia, msiba upo Temeke. Kwa niaba ya Binslum F.C tunatoa pole kwa familia ya marehemu na Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema,”imesema taarifa ya Binslum F.C.
Pamoja na kuwa wadhamini na wafadhili na wa timu mbalimbali nchini ikiwemo Mbeya City, lakini Binslum Tyre Limited wanamiliki timu yao, Binslum F.C. ambayo hushiriki mashindano mbalimbali ya maveterani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2D9vQpE
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BINSLUM WAPATA MSIBA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/binslum-wapata-msiba.html. Terimakasih atas perhatiannya.