REAL MADRID inatafuta mbadala wa wa Zinedine Zidane, ingawa kocha huyo Mfaransa hana wasiwasi licha ya taarifa nchini Hispania kusema Joachim Low anatarajiwa kuchukua nafasi.
Kitendo cha Real Madrid ya Zidane kushindwa kuifunga timu ya Daraja la pili, Numancia Jumanne usiku wiki hii wakitoa sare ya 2-2 katika mchezo wa marudiano wa kombe la Mfalme kunazidi kuchochea mabadiliko ya bencho la Ufundi Santiago Bernabeu.
Kiwango cha kimezidi kushuka na baada ya kufungwa nyumbani na Barcelona na kutoa sare ugenini na Celta Vigo sasa wanazidiwa pointi 16 na vinara wa ligi kutoka Katalunya. Wanashika nafasi ya nne na ni pointi tu inayowaondoa kwenye la timu zilizo hatarini kushuka Daraja.
Pamoja na kocha Zinedine Zidane kuipa mataji matano Real Madrid mwaka 2017, lakini sasa anaweza kuondolewa
Kwenye Ligi ya Mabingwa walifungwa na Tottenham Uwanja wa Wembley na kwa kushindwa kuongoza kundi sasa watakutana na timu ngumu, Paris Saint-Germain kwenye hatua ya 16 Bpra Februari 14 Uwanja wa Santiago Bernabeu.
Lakini Zidane ana hazina ya kutosha benki baada ya kuipa timu mataji matano msimu mwaka 2017. Mjerumani Low amekuwa akitakiwa na Madrid kwa muda sasa, lakini wakati wote amekuwa akisema anapenda kuendelea kufundisha timu ya taifa.
Mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwaka 2020, maana yake Madrid itatakiwa kumnunua.
Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino na wa Chelsea, Antonio Conte pia wanatajwa kuhamia Man City pamoja na Thomas Tuchel na Unai Emery.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2AXzcH7
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ZIDANE ANACHUNGULIA MLANGO WA KUTOKEA REAL MADRID. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/zidane-anachungulia-mlango-wa-kutokea.html. Terimakasih atas perhatiannya.