Na Mwandishi Wetu, SINGIDA
TIMU ya Singida United leo inaondoka Singida kwenda Mwanza kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Mkurugenzi wa Singida United, Sanga Festo ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba kikosi kizima cha timu hiyo kinaondoka kwa basi lake leo kwenda Mwanza.
Sanga amesema kwamba hiyo itakuwa fursa nzuri kwa kocha wao mpya, Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuinoa timu hiyo kikamilifu kwa mara ya kwanza tangu ajiunge nayo Mei.
Sanga amesema Morocco hajapata fursa nzuri ya kuinoa vizuri timu hiyo kwa sababu alianza nayo ikiwa katika mashindano ya SportPesa Super Cup nchini Kenya na kutoka hapo akaingia kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame.
“Tunaomba mashabiki na wadau wa soka, waandishi wa habari kutupa ushirikiano wakati wote wa maandalizi ya kuelekea kuanza msimu mpya wa ligi 2018/2019,”amesema Sanga.
Aidha, Mkurugenzi huyo amesema kwamba wakiwa mjini Mwanza wanatarajia kutangaza kikosi chao kamili, wachezaji wote wapya waliosajiliwa na walioondoka.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LvDT0Y
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms