Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa Stand United mabao 3-1 usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam.
Baada ya dakika 45 ngumu za kipindi cha kwanza timu hizo zikimaliza bila kufungana, kipindi cha pili Stand United walitangulia kwa bao la Hafidh Mussa dakika ya 53, kabla ya Azam FC kutokea nyuma na kuibuka na ushindi huo.
Alianza kiungo Mghana, Enock Atta-Agyei kuisawazishia Azam FC dakika ya 66 kabla ya mshambuliaji chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Yahya Zayed kufunga mfululizo dakika ya 72 kwa penalti na 85.
Yahya Zayed akishangilia baada ya kufunga mabao mawili leo dhidi ya Stand United
Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 36 baada ya kucheza 14, ikiendelea kukamata nafasi ya pili nyuma ya Yanga SC, yenye pointi 38 za mechi 14 pia.
Mabingwa watetezi, Simba SC wanafuatia katika nafasi ya tatu kwa pointi zao 27 za mechi 12 wakiwa na viporo viwili kutokana na kukabiliwa na mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Pkcwba
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms