Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIUNGO mpya wa Yanga SC, Mohamed Issa ameruhusiwa kuanza mazoezi wakati akikaribia mwisho wa adhabu yake ya kufungiwa baada ya kubainika kutumia dawa zisizoruhusiwa michezoni aina ya bangi.
Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Mario Ndimbo amesema leo mjini Dar es Salaam kwamba Mohamed Issa, maarufu Banka baada kubainika kutumia dawa hizo alifungiwa kwa kipindi cha miezi 14 kuanzia Disemba 9,2017 na adhabu kumalizika Februari 8,2019.
Pamoja na kuruhusiwa kuanza mazoezi Mohamed Issa haruhusiwi kucheza mchezo wowote ule zaidi ya kufanya mazoezi.
Mohamed Issa 'Banka' (kulia) amemaliza adhabu na sasa yuko huru kuanza kazi rasmi Yanga SC
|
Mohamed Issa alifungiwa na Kamati ya kuzuia na kupambana na dawa zisizoruhusiwa michezoni ya Kanda ya Tano Africa (RADO).
Kufunguliwa kwa mchezaji huyo ni habari njema kwa Yanga SC iliyomsajili Julai mwaka huu kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro, kwani sasa anakewenda kuongeza nguvu kwenye kikosi cha timu hiyo ya Jangwani, Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2RY46bL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms