Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Mtibwa Sugar ya Morogoro imechapwa mabao 3-0 na wenyeji KCCA katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Philip Omondi mjini Kampala jioni ya leo.
Mabao ya KCCA, timu inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Kampala leo yamefungwa na Allan Kyambade dakika ya 48, Patrick Kaddu dakika ya 73 na Allan Okelo dakika ya 85.
Mtibwa Sugar inayofundishwa na mchezaji wake wa zamani, Zuberi Katwila ilizidiwa kabisa na KCCA kwenye mchezo wa leo.
Wachezaji wa Mtibwa Sugar na KCCA katika mchezo wa leo mjini Kampala
Kipigo hicho kinaiweka mguu nje Mtibwa Sugar kwenye michuano hiyo, sasa ikihitaji kushinda 4-0 kwenye mchezo wa marudiano wiki ijayo Uwanja wa Azam Complex mjini Dar es Salaam wiki ijayo ili kusonga mbele.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2GlGdth
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms