Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya JKT Tanzania imefanikiwa kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.
Ushindi huo umetokana na bao pekee na la kujifunga la Ramadhani Madenge dakika ya 40 na sasa JKT Tanzania inafikisha pointi 24 baada ya kucheza mechi 19 na kupanda hadi nafasi ya 13 hadi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi Kuu.
KMC inayofundishwa na Mrundi, Etienne Ndayiragijje inabaki na pointi zake 25 ikifikisha mechi 20 za kucheza na kuendelea kukamata nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu.
Mechi nyingine ya Ligi Kuu, leo Ruvu Shooting imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ndanda FC Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, bao pekee la mshambuliaji wake nyota, Said Dilunga dakika ya 58.
Ushindi huo unaifanya Ruvu Shooting ifikishe pointi 23 na kupanda hadi nafasi ya 11 kutoka ya 16, wakati Ndanda FC inabaki nafasi ya 17 na pointi zake 19 za mechi 19 kwenye Ligi Kuu ya timu 20.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2SH9bFA
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms