Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba wa miaka minne na kampuni ya Azam Media Limited kwa ajili ya kuonyesha moja kwa moja mechi za Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars pamoja na mashindano ya Kombe la shirikisho hilo, maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Mkataba wa awali wa Azam Sports umefikia tamati msimu uliopita na sasa pande hizo zimesaini mkataba mpya wa miaka minne wenye thamani ya shilingi bilioni 4.5.
Pia mkataba wa kuonesha mechi za Taifa Stars umegharimu shilingi milioni 400 ambazo ni sawa shilingi milioni 100 kwa mwaka, na kwenye kila mechi Taifa Stars itapata shilingi milioni 35 kutoka Azam Media.
Akitoa ufafanuzi wa mkataba huo Mkuruguenzi wa Michezo wa Azam Media Patrick Kahemele amesema mechi za Taifa Stars zilizodhamini na Azam ni zile za kirafiki zitakazokuwa kwenye kalenda ya FIFA.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/31ipzAW
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms