Na Saada Salim, DAR ES SALAAM
KLABU ya Azam FC imeingia mkataba mpya wa miaka miwili zaidi na kiungo mshambuliaji, Richard Ella D’jodi kutoka Ivory Coast.
Djodi amesaini mkataba huo mpya leo mchana mjini Dar es Salaam akiwa sambamba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat'.
Mkataba huo utamfanya kuendelea kusalia kwa wababe hao wa Azam Complex kwa miaka mitatu, hadi mwaka 2022.
Uongozi wa Azam FC umeamua kuingia naye mkataba mpya ndani ya muda mfupi, baada ya Djodi kufanikiwa kuonyesha kiwango kizuri katika mechi mbalimbali za mashindano hali ambayo imemvutia Kocha Mkuu, Etienne Ndayiragije, aliyependekeza kurefushwa zaidi kwa mkataba wake.
Nyota huyo raia wa Ivory Coast aliyesajiliwa akitokea Ashanti Gold ya Ghana, ambapo hadi sasa katika mechi tatu za mashindano alizoichezea Azam FC amefunga mabao mawili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LG4NEK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms