RWANDA imefuzu hatua ya makundi ya kuwania tiketi ya Kombe la Dunia 2022 Qatar kwa ushindi wa kishindo wa 7-0 dhidi ya Shelisheli jana Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali.
Mabao ya Amavubi jana yalifungwa na Djihad Bizimana dakika ya 16, Meddie Kagere dakika ya 27 na 51, Jacques Tuyisenge dakika ya 28 na 34, Yanick Mukunzi dakika ya 57 na Muhadjir Hakizimana dakika ya 79.
Maana yake, Rwanda inayofundishwa na kocha mzalendo Vincent Mashami inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 10-0 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Alhamisi a wiki iliyopita, mabao ya Hakizimana 31, Mukunzi 35 na Kagere 81.
Rwanda inaungana na washindi wengine 13 wa hatua ya awali kuungana na timu 26 za viwango vya juu vya ubora wa soka barani Afrika kwa ajili ya hatua ya makundi, ambayo yatakuwa 10.
Washindi wa kwanza wa kila kundi watamenyana baina yao kupata wawakilkishi watano wa Afrika kwenye Fainali zijazo za kombe la Dunia nchini Qatar 2022.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2NVewtn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms