TIMU ya Manchester City FC jana ilifanikiwa kutwaa Kombe la Ligi England baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Fainali Uwanja wa Wembley Jijini London.
Mabao yaliyoipa Manchester City taji la ya Carabao Cup yalifungwa na beki chipukizi wa kushoto wa umri wa miaka 21 ambaye pia hucheza nafasi za kiungo, Nico O'Reilly yote mawili dakika ya 60 na 64.
Hilo linakuwa taji la tisa la Carabao kwa Manchester City baada ya awali kulibeba katika misimu ya 1970, 1976, 2014, 2016, 2018, 2019, 2020 na 2021.
Mara ya mwisho Arsenal kutwaa taji iliuwa ni Agosti mwaka 2020 walipobeba Kombe la FA Cup chini ya kocha wa sasa, Mikel Arteta kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea kwenye Fainali hapo hapo Uwanja wa Wembley.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/kRzcEmA
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MANCHESTER CITY YAICHAPA ARSENAL 2-0 NA KUTWAA CAFRABAO CUP. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/03/manchester-city-yaichapa-arsenal-2-0-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.