TIMU ya TRA United imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa Black Rhino, Karatu Jijini Arusha.
Mabao ya TRA United, zamani Tabora United yamefungwa na beki Muivory Coast, Chamou Karaboue dakika ya 62 na mshambuliaji Mganda, Joseph Akandwanaho dakika ya 90’+2.
Kwa ushindi huo, TRA United inafikisha pointi 19 katika mchezo wa 14 na kusogea nafasi ya tisa, wakati Namungo FC inabaki na pointi zake 21 za mechi 17 sasa na kushuka kwa nafasi moja hadi ya saba.
Beki wa zamani wa Simba SC na Cote RC Abidjan ya kwao, Iivory Coast, Chamou Karaboue ndiye aliyechaguliwa Mchezaji Bora wa Mechi baada ya mchezo huo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/qkm3l4a
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TRA UNITED YAICHAPA NAMUNGO FC 2-0 KARATU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/03/tra-united-yaichapa-namungo-fc-2-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.