TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na winga, Zidane Ally Sereri mawili akiiadhibu timu yake ya zamani dakika ya tano na 71 na kiungo Feisal Salum Abdallah dakika ya 12.
Kwa ushidi huo, Azam FC inafikisha pointi 27 katika mchezo wa 13 na kurejea nafasi ya tatu ikiizidi tu wastani wa mabao Simba SC ambayo pia ina mechi moja mkononi.
Dodoma Jiji FC baada ya kupoteza mchezo wa leo wanabaki na pointi zao 21 za mechi 17 sasa wakishuka kwa nafasi moja hadi ya saba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/OshWiuc
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ZIDANE APIGA MBILI AZAM YAILAZA DODOMA JIJI 3-0 JAMHURI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/03/zidane-apiga-mbili-azam-yailaza-dodoma.html. Terimakasih atas perhatiannya.