MABINGWA watetezi, Yanga SC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Yanga walitangulia kwa bao la kiungo Muiovory Coast, Peodoh Pacome Zouzoua dakika ya 23, kabla ya kiungo Ismail Aidan Mhesa kusawazisha kwa kona aliyopiga ikaingia moja kwa moja nyavuni dakika ya 90’+2.
Kwa matokeo hayo, Yanga SC inafikisha pointi 38 katika mchezo wa 16 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya watani wao, Simba SC walio nafasi ya tatu ambao hata hivyo wana mechi tatu mkononi.
Katikati ya Simba na Yanga wapo Azam FC nafasi ya pili wakiwa na pointi 29 baada ya kucheza mechi 15.
Kwa sare ya leo, Mtibwa Sugar inafikisha pointi 22 katika mchezo wa 17 na kusogea nafasi ya saba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/S4FR06j
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA SC YATOA SARE NYINGINE, 1-1 NA MTIBWA DODOMA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/03/yanga-sc-yatoa-sare-nyingine-1-1-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.