TIMU ya Tanzania imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Macau katika mchezo wa Kundi B kuwania nafasi tatu michuano ya FIFA Series jioni ya leo Uwanja wa Pele Jijini Kigali, Rwanda.
Mabao ya Taifa Stars yamefungwa na mshambuliaji wa Floriana ya Malta, Kokola Charles William M'Mombwa dakika ya 16, nyota wa Yanga SC, beki Bakari Nondo Mwamnyeto dakika ya 26 na kiungo Mudathir Yahya Abbas dakika ya 45.
Mengine yamefungwa na mshambuliaji wa JKT Tanzania, Paul Peter Kasunda dakika ya 56, kiungo wa Gotzepe ya Uturuki, Novatus Dismas Miroshi dakika ya 74 na winga wa Rochdale ya England, Tarryn Allarakhia dakika ya 87.
Taifa Stars imeangukia kwenye mchezo wa kuwania nafasi ya tatu michuano ya FIFA ya Series mwaka huu baada kufungwa 1-0 na Liechtenstein katika mchezo wa kwanza Alhamisi hapo hapo Uwanja wa Pele.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/es0puMj
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TAIFA STARS YAIBAMIZA MACAU 6-0 MICHUANO YA FIFA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/03/taifa-stars-yaibamiza-macau-6-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.