TIMU ya taifa ya wanawake ya Kenya, Harambee Starlets imepabgwa Kundi B na washindi wa rekodi mara tisa, Nigeria, Ghana na Mali katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake zinazotarajiwa kuanza Novemba 10 hadi Desemba 3 nchini Cameroon.
The Starlets, ambao wanashiriki kwa mara ya kwanza AFCON watakuwa na wakati mgumu katika kundi walilopangwa na wababe hao watatu.
Kenya watamenyana na Mali katika mchezo wao wa kwanza kabla ya kuwavaa Super Falcons na kisha kumaliza na Ghana.
Wenyeji, Cameroon watamenyana na Banyana Banyana ya Afrika Kusini katika mchezo wa kwanza siku ya ufunguzi Novemba 19 Kundi A. Timu nyingine kwenye kundi hilo ni Misri na Zimbabwe
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2d4XFnC
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KENYA YAPANGWA KUNDI LA 'HAWACHOMOKI' AFCON YA WANAWAKE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/09/kenya-yapangwa-kundi-la-hawachomoki.html. Terimakasih atas perhatiannya.