Na Mwandishi Wetu, JINJA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli ameipongeza timu ya taifa ya wanawake, Kilimanjaro Queens kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kenya jioni ya jana Uwanja wa Ufundi, Jinja.
Katika barua yake, Rais Magufuli amesema amefurahishwa na ubingwa huo na akawaomba wachezaji wa Kilimanjaro Queens kuutumia ushindi huo kama changamoto ya kutwaa mataji zaidi ya michuano mingine.
Ushindi wa jana ulitokana na mabao ya Mwanahamisi Omar ‘Gaucho’ na Stumai Abdallah dhidi ya moja la Kenya, lililofungwa na Christine Nafula.
Kikosi cha Kilimanjaro Queens jana Uwanja wa Ufundi, Jinja, Uganda
Awali, Tanzania Bara iliongoza Kundi B baada ya kushinda kura ya sarafu kufuatia sare ya 0-0 na Ethiopia katika mchezo wa mwisho wa kundi hilo, hivyo kufungana nayo kwa pointi na wasatani wa mabao kileleni.
Kilimanjaro Queens ilianza vizuri michuano hiyo kwa kuibamiza 3-2 Rwanda, mabao yake yakifungwa na Asha Rashid ‘Mwalala’ dakika za 11 na 65 na Stumai Abdallah dakika ya 28, wakati ya wapinzani wao yalifungwa na Ibangarrue Marie na Amina Ally wa Tanzania Bara aliyejifunga.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2cZEPNi
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang RAIS MAGUFULI AWAPONGEZA KILI QUEENS KWA KOMBE LA CHALLENGE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/09/rais-magufuli-awapongeza-kili-queens.html. Terimakasih atas perhatiannya.